Muigizaji wa filamu nchini, Irene Paul amesema haikuwa rahisi kuigiza kama changudoa (msichana anayejiuza mwili) kwenye filamu kuhusu masuala ya Ukimwi, Shujaa.
Akiongea na mtandao wa Bongo5, Irene alisema hajawahi kufanya filamu ya aina hiyo lakini alipofuatwa kuigiza hakusita kukubali kwakuwa alitaka kuonesha utofauti katika uigizaji wake.
Hata hivyo aliongeza kuwa wakati wa kushoot
↧