Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Picha za Mkutano wa katibu mkuu wa CCM wakati akihitimisha ziara yake jijini Mbeya

$
0
0
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wakazi wa Mbeya mjini, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika jana jioni katika Uwanja wa Rwanda Nzovwe, wilaya ya Mbeya mjini, ikiwa ni mkutano wa kuhitimisha ziara yake katika mkoa huo, ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM, kusikiliza kero za wananchi na kujadiliana nao njia ya kuzitatua.  Katibu NEC,Itikadi na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles