Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

FIFA yaipa Tanzania mgawo wa tiketi 260 za Fainali za Kombe la Dunia nchini Brazil.....Kama unahitaji, tuma barua ya maombi TFF

$
0
0
Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) limeipa Tanzania mgawo wa tiketi 260 za Fainali za Kombe la Dunia nchini Brazil. Watanzania wanaohitaji tiketi hizo wanatakiwa kutuma maombi TFF kwa maandishi wakielezea aina ya tiketi na mechi wanazotaka kushuhudia. Hakuna tiketi zitakazoombwa FIFA bila kuwepo maombi kwa maandishi. Tiketi zilizopo kwa Tanzania ni kaa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>