Shirikisho
la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) limeipa Tanzania mgawo wa tiketi
260 za Fainali za Kombe la Dunia nchini Brazil.
Watanzania
wanaohitaji tiketi hizo wanatakiwa kutuma maombi TFF kwa maandishi
wakielezea aina ya tiketi na mechi wanazotaka kushuhudia. Hakuna tiketi
zitakazoombwa FIFA bila kuwepo maombi kwa maandishi.
Tiketi
zilizopo kwa Tanzania ni kaa
↧