Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mshindi wa shindano la EBSS mwaka huu ni Emmannuel Msuya...Tazama...

Kinyanganyiro cha kumtafuta Super Star wa Bongo kupitia Epiq Bongo Star Search 2013 kimekamilika leo alfajiri  kwenye ukumbi wa Escape 1. Mashindano haya ambayo kidogo yalichelewa kuanza yalipambwa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uongozi wa bunge wataka Kapuya ashitakiwe....CCM nao waanza kumuumbua

WAKATI Jeshi la Polisi likiendelea kukwepa kumkamata Mbunge wa Urambo Magharibi, Prof. Juma Kapuya (CCM) anayekabiliwa na tuhuma za kumbaka mwanafunzi na kutishia kumuua, uongozi wa Bunge umeingilia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Marais wa Eac watia saini huko KAMAPALA kuhusu itifaki ya kutumia sarafu moja

 L-R ni Marais: Pierre Nkurunzinza (Burundi), Jakaya Mrisho Kikwete (Tanzania), Uhuru Kenyatta (Kenya), Yoweri Museveni (Uganda) na Paul Kagame (Rwanda) muda mfupi baada ya kutia saini itifaki ya Umoja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA yapukutika: Mwenyekiti mkoa wa Lindi ajiuzulu na kujitoa...

SASA ni dhahiri kwamba hali si shwari ndani ya Chadema, baada ya viongozi zaidi kuendelea kuachia ngazi kwa kile walichodai kuchoshwa na hali ya mambo katika chama hicho kikuu cha upinzani nchini....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Binti wa kitanzania ( Rachel Jose ) amuanika rafiki yake ( Minza ) akiwa uchi...

Huyu  ni  Minza  aliyeanikwa  akiwa  Uchi. Mabinti  wawili  waliotambulika  kwa  majina  ya  Rachel  Jose  na  Minza  wamejikuta  wakitia  aibu  baada  ya  kuanza  kusambaza  picha  zao za  uchi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Viongozi wazidi kujitoa: Katibu wa CHADEMA wilaya ya Chunya naye aachia ngazi...

Katibu wa chama cha CHADEMA wilaya ya Chunya,Bwa Bryson Mwasimba akionesha kadi yake ya chama hicho na  kuirejesha kwa chama cha CCM mara baada ya kuachia ngazi kwenye mkutano wa hadhara uliofanywa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Matawi 189 ya CHADEMA jijini mwanza yatishia kuandamana endapo Mbowe na Dr....

TAMKO LA UMOJA WA MATAWI YA WANACHADEMA MKOA WA MWANZA DHIDI YA UAMUZI  HARAMU WA KAMATI KUU YA CHADEMA. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI UTANGULIZI Ndugu wanahabari, mbele yenu ni muunganiko wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Haya ndo makosa 11 ambayo CHADEMA wanamtuhumu Zitto Kabwe na wenzake...Kosa...

MASHITAKA 11 dhidi ya aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Zitto Kabwe, yamebainisha kuwa kosa kubwa la kiongozi huyo kijana, ni nia yake ya kutaka kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa, Freeman...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Khadija Kopa avamiwa na vijana wahuni baada ya kukatiza mtaani akiwa na...

Malkia wa Mipasho Afrika Mashariki na Kati, Khadija Omary Kopa amevamiwa na vijana wahuni wakitaka kumfanyia fujo kwa madai ya kukatiza mitaani akiwa ameongozana na ‘mwaume  aliyekuwa  amevaa  nguo  za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Katibu wa chama cha madaktari ajiuzulu wadhifa wake na kujiunga CHADEMA

MAKAMU wa Rais wa Chama cha Madakatri Tanzania (MAT), Dk Rodrick Kabangila, amejiuzulu nafasi hiyo na kuelekeza nguvu kwenye uteuzi mpya wa kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Ziwa Magharibi wa Chama cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kimemvua madaraka ya uongozi Dr. Kitila Mkumbo...

  \Taarifa zinasema kuwa uongozi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam umemvua kwa muda Mhadhiwa Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk Kitila Mkumbo madaraka ya kuongoza Kitivo cha Elimu cha Chuo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lulu Michael awahamasisha vijana kupima UKIMWI

Msanii wa filamu nchini Elizabeth Michael aka Lulu amesema vijana wanatakiwa wawe mstari wa mbele katika kujikinga na maambukizi ya virusi vya Ukimwi.   Akizungumza na mwandishi wetu jana katika usiku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZAWADI: Jipatie zawadi ya sh. laki tatu ( 300,000) kwa kushiriki shindano la...

Mpendwa  msomaji; Tunapenda  kukuarifu  kuwa  kuna  zawadi  ya sh. 300,000  itakayogawanywa  kwa  washindi  watatu Shindano  hilo  limeanza  leo katika  forum yetu ya Fikra Huru  na  litamaliza  baada...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha za uchi zaivunja ndoa ya msanii

Ndoa  ya  msanii  maarufu  wa  kinigeria  ajulikanaye  kwa  jina  la  Uche Iwuji  imesambaratika  rasmi  kufuatia  picha  zake  za  uchi  kuvuja  mitandaoni.... Mrembo  huyo  ambaye  mungu  alimjalia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hali ni Mbaya Kigoma: Viongozi wa CHADEMA mkoani humo wazuia ziara ya Dr....

TAMKO LA KIKAO CHA MKOA – CHADEMA, PAMOJA NA BAADHI YA VIONGOZI WA MAJIMBO TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Kikao kilichofanyika ofisi ya Mkoa Ujiji kilibeba AGENDA ya Kujadili na Kuboresha ujio wa ziara...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lowassa aongoza harambee ya kuchangia maendeleo ya wanawake na watoto...

Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akizungumza wakati alipokuwa akiongoza harambee ya kuchangia maendeleo ya wanawake na watoto iliyofanyika katika Kanisa Kuu la Anglikana Dayosisi Mtandi Masasi,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete amteua Engineer F. Mramba kuwa mkurugenzi mtendaji wa shirika la...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Engineer Felchesmi Mramba kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO). Taarifa iliyotolewa Ikulu,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahakama yaombwa kukataa ombi la Sheikh Ponda la kuifuta kesi yake

Maombi ya Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda ya kuomba ufutiwa shtaka la kukiuka uamuzi wa mahakama, yamebaki njiapanda baada ya Jamhuri kuyawekea pingamizi la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Binti afungwa jela mwezi mmoja baada ya kukiri kufanya biashara haramu ya ngono

MSICHANA Dorika Kanomba (18) amehukumiwa kifungo cha mwezi mmoja jela au kulipa faini ya Sh 150,000 baada ya kukiri kosa la kukutwa akifanya biashara haramu ya kuuza mwili. Washitakiwa wengine tisa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanawake waongoza kwa virusi vya UKIMWI huko Tarime

Wanawake katika Halmashauri ya Wilaya ya Tarime wanaongoza kwa maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) ukilinganisha na wanaume.    Sababu kubwa zinazoelezwa kuchangia hali hiyo ni mwendelezo wa mila...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>