Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Binti afungwa jela mwezi mmoja baada ya kukiri kufanya biashara haramu ya ngono

$
0
0
MSICHANA Dorika Kanomba (18) amehukumiwa kifungo cha mwezi mmoja jela au kulipa faini ya Sh 150,000 baada ya kukiri kosa la kukutwa akifanya biashara haramu ya kuuza mwili. Washitakiwa wengine tisa waliofikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Sokoine Drive kwa kosa hilo, wamerejeshwa mahabusu baada ya kukana mashitaka yanayowakabili.   Akitoa hukumu jana, Hakimu wa mahakama hiyo, Said

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>