Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mahakama yaombwa kukataa ombi la Sheikh Ponda la kuifuta kesi yake

$
0
0
Maombi ya Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda ya kuomba ufutiwa shtaka la kukiuka uamuzi wa mahakama, yamebaki njiapanda baada ya Jamhuri kuyawekea pingamizi la kisheria, ikiiomba Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam iyatupilie mbali.   Wakili Mkuu wa Serikali, Bernard Kongola alidai hayo jana mbele ya Jaji Rose Temba kabla ombi hilo halijaanza

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>