WAKATI Jeshi la Polisi likiendelea kukwepa kumkamata Mbunge wa Urambo
Magharibi, Prof. Juma Kapuya (CCM) anayekabiliwa na tuhuma za kumbaka
mwanafunzi na kutishia kumuua, uongozi wa Bunge umeingilia kati ukitaka
achukuliwe hatua.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) nacho kimeibuka na kueleza kushangazwa na
kitendo cha mbunge huyo kuikana namba yake ya simu 0784 993 930 wakati
ipo hata kwenye
↧