Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Khadija Kopa avamiwa na vijana wahuni baada ya kukatiza mtaani akiwa na mwanaume waliyedai ni Shoga

$
0
0
Malkia wa Mipasho Afrika Mashariki na Kati, Khadija Omary Kopa amevamiwa na vijana wahuni wakitaka kumfanyia fujo kwa madai ya kukatiza mitaani akiwa ameongozana na ‘mwaume  aliyekuwa  amevaa  nguo  za  kike’. Tukio hilo lilijiri maeneo ya Kariakoo, Dar wiki iliyopita ambapo vijana hao walianza kwa kuzomea wakitaka kumshika mwanaume huyo waliyedai alikuwa amevaa nguo za jinsia ya kike

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>