Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Viongozi wazidi kujitoa: Katibu wa CHADEMA wilaya ya Chunya naye aachia ngazi na kujiunga CCM...

$
0
0
Katibu wa chama cha CHADEMA wilaya ya Chunya,Bwa Bryson Mwasimba akionesha kadi yake ya chama hicho na  kuirejesha kwa chama cha CCM mara baada ya kuachia ngazi kwenye mkutano wa hadhara uliofanywa na Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana uliofanyika kwenye kata ya Lupa Tinga Tinga,Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya. Ndugu Kinana na ujumbe wake yuko mkoani Mbeya kwenye ziara kukagua

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>