WILFRED NOEL KITUNDU
MWENYEKITI CHADEMA MKOA SINGIDA
S.L.P 260
3.12.2013
KATIBU WA CHADEMA MKOA
S.L.P 260
SINGIDA
YAH: - KUJIUZURU UENYEKITI MKOA SINGIDA
Somo hapo lahusika,
Ninapenda
kukuarifu kuwa nimeamua kujiuuzuru nafasi yangu ya uenyekiti wa mkoa
ambayo nimekuwa nikiitumikia kwa kipindi kirefu sasa kama kielelezo cha
kuamini na kudai demokrasia ya
↧