Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Singida ailaani kamati kuu ya chama hicho dhidi ya UPUUZI inaoufanya..Hili ni tamko lake alilolitoa

$
0
0
MSIMAMO WA MWENYEKITI CHADEMA MKOA WA SINGIDA DHIDI YA UAMUZI WA KAMATI KUU YA CHAMA TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI UTANGULIZI Ikumbukwe kwamba mimi ndio mwanachama wa kwanza kujiunga na CHADEMA mkoa wa SINGIDA na ni mtu wa 300 kitaifa kujiunga na Chama hiki. Nimejiunga mwaka 1992 siku ya mkutano mkuu kwanza wa uzinduzi chama uliofanyika mnazi mmoja. Nimekuwa nikijitolea vya kutosha nguvu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles