Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) yatangaza uchaguzi mdogo wa madiwani katika kata 27 februari 9 -2014

$
0
0
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza kuwa uchaguzi mdogo wa kujaza viti vilivyo wazi vya madiwani katika kata 27 zilizoko katika halmashauri 23, utafanyika Februari 9, mwakani. Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Julius Mallaba, alisema jana kuwa viti hivyo vimekuwa katika kata hizo, kutokana na baadhi ya madiwani kufariki dunia na wengine kupoteza sifa. Kata hizo na halmashauri zake

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>