Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MLINZI WA BAR ACHINJWA KIKATILI NA MAJAMBAZI USIKU WA KUAMKIA LEO

Mlinzi wa baa ya Darajani Stop Over iliyo kando kando ya barabara kuu ya Morogoro Dar es salaam jirani na daraja la Mzambarauni  Bw Mika Athumani amechinjwa na majambazi usiku wa kuamkia leo. Habari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAAHIDI KUWACHUKULIA HATUA KALI VIONGOZI WA WIZARA YA ELIMU...

Mizengo Pinda. Serikali imeahidi kuwajibisha watendaji watakaobainika kwenda kinyume katika uingizaji wa mfumo mpya wa usahihishaji mtihani wa Kidato cha Nne mwaka 2012, ambao matokeo yake yamefutwa....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

"NIMEAMUA KUTOA PICHA ZANGU ZA NUSU UCHI ILI NIMUONESHE LOVENESS DIVA KWAMBA...

Mrembo wa kenya anayedai  kuporwa  mume  na  loveness  Diva wa clouds  Fm  ameamua  kuachia  picha  zake  za  laana  kwa  lengo  la  kuonesha  ubabe  wake  wa Diva..... Huddah  anamtaka  DIVA  naye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"TAFUTA HELA MBWA WEWE....HATA HELA YA SIGARA HUWA UNAOMBA CLUB"..HAYA NI...

TID a.k.a MNYAMA  leo amejikuta  akiambulia  matusi  ya  nguoni  baada  ya kuitosa  show  ya  Lady Jaydee  na  kuandika  chenga  zake  katika  Account yake ya Facebook.... Hizi  ni  comment  za  hao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA ZA NUSU UCHI ZA KUNDI LA "ZE KOMEDI' ZAVUJA'.....HII NI ZAIDI YA AIBU

Picha za aibu  zinazowaonesha wasanii wa kundi la Ze Komedi wakiwa kwenye fukwe moja ya huko Kigamboni zimezua balaa kubwa ......  Happy  kabla  hajavua  nguo....  == Mtandao  huu  umefanikiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAWAKE JIJINI MBEYA WAMVAA MCHUMBA WA DR. SLAA BAADA YA KUMKASHIFU MKE WA...

UMOJA wa wanawake  wa chama cha Mapinduzi Mkoani Mbeya(UWT) umemshukia Bi.Josephine Mushumbusi ambaye ni mchumba Katibu Mkuu wa chama chaDemokrasia na maendeleo CHADEMA kufuatia kauli za udhalilishaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAYA NDO MAJINA YA WANAFUNZI WA CBE NA UDSM WALIONASWA WAKIJIUZA ( MAKAHABA)

Wanafunzi wa kike wa chuo kikuu cha Dar es salaam [UDSM],Chuo cha elimu ya biashara [CBE]na chuo cha mamlaka ya Elimu na ufundi  stadi [VETA],Dar es salaam ,wamefikishwa katika mahakama ya jiji samora...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAADA YA KUWEPO HOFU YA MAANDAMANO, MJI WA MTWARA WATAWALIWA NA UKIMYAA,...

Hakukuwa na hali yeyote ya uvunjifu wa amani Ulinzi umeimarishwa kila kona Hali ya usalama ndani ya Manispaa ya Mtwara-Mikindani ni tete. Soko Kuu, kituo kuu cha mabasi na maduka yamefungwa tangu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ELIMU YA SHULE ZA MSINGI ITAKUWA NI MIAKA 10 BADALA YA 7

RASIMU ya Sera ya Elimu na Mafunzo nchini inapendekeza kuunganisha elimu ya msingi na sekondari ya kawaida ya sasa ili kuunda elimu-msingi itakayotolewa kwa kipindi cha miaka 10 kuanzia mwaka 2018,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTOTO ALIYEPIGWA MAPANGA NA BABA YAKE AFARIKI DUNIA

Mtoto Devotha Gerald (4) aliyepigwa mapanga na baba yake, polisi mstaafu Samson Bwire Amefariki dunia baada ya jitihada za madaktari kuokoa maisha yake kushindikana...   Mtuhumiwa wa tendo hilo ambaye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HOFU YATANDA BUNGENI KUTOKANA NA TETESI ZA SHAMBULIO LA KIGAIDI MJINI DODOMA

Hali ya wasiwasi imelikumba Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kuwepo kwa tetesi ya shambulio la kigaidi katika maeneo ya Bunge. Hali hiyo inafuatia ujumbe mfupi wa maneno uliosambazwa,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIBU: MCHUNGAJI NA WANAKWAYA WATWANGANA NGUMI KANISANI

KATIKA hali isiyo ya kawaida, ugomvi mkubwa umetokea kwenye Kanisa la AICT, kati ya baadhi ya wanakwaya wa kanisa hilo linalofahamika kwa jina la “Bupandwa” na mchungaji wao Petro Masule. Tukio hilo la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA YAICHAPA SIMBA 2-0, VURUGU ZATOKEA UWANJANI REFA APIGWA

Shabiki wa Yanga ambaye jina lake halijapatikana alikatwa kidole baada ya jazba kati ya washabiki wa timu za Yanga na Simba zilizopelekea Mashabiki hao kuchapana makonde leo kabla ya mechi kuanza.Tukio...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

"MIMI SIYO MSAGAJI....NIPO TAYARI KUWATAJA WANAUME NILIOLALA NAO"...HALIMA MDEE

Kupitia season mpya ya Clouds Fm, ndani ya so so fresh na fetty, Mh Halima Mdee jana amefunguka juu ya swali aliloulizwa kuhusu story zilizosambaa kuwa anashiriki mapenzi ya jinsia moja. Hii  ndo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUYU NDO MBUGE ALIYEDONDOKA JANA BUNGENI

MBUNGE wa Viti Maalumu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),  Mwanamrisho Taratibu Abama  jana asubuhi aliugua  na  kuanguka ghafla katika viwanja vya Bunge na kukimbizwa hospitali.......

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MR. NICE AURUDIA TENA "UKICHECHE" ULIOMFANYA AFILISIKE

Hakika  Tabia  ni  ngozi.... Ni vigumu  kuamini, lakini  ukweli  ni  kwamba Mr.Nice  ameirudia  tena  ile  tabia  yake  ya Ukicheche  na  kuwapanga  wanawake  mithiri  ya vyombo  kabatini  iliyomfanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MMILIKI WA JAMIIFORUMS NA NDUGU ZAKE WAPATA AJALI MBAYA

Mmoja wa waanzilishi na wamiliki wa Jamii Forums, Maxence Melo, amepata ajali ya gari katika barabara kuu iendayo Mwanza; kilometa chache kutoka Nzega mjini.  Mwanzilishi mwenzie na msemaji wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

"WANAOCHOCHEA VURUGU ZA KIDINI NI WATU WALIOTUMWA NA MATAIFA YA NJE"........

Rais Jakaya Kikwete amebainisha kuwa vurugu za kidini na kisiasa zinazotokea nchini, zina uhusiano na watu wa nchi za nje. Kikwete alitoa kauli hiyo jana kwenye ibada maalumu ya kuwekwa wakfu kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE WA IRINGA AWAONGOZA WANANCHI KUFANYA VURUGU

Mbunge  wa Iringa mjini Peter Msigwa (CHADEMA) hivi sasa  anaongoza  vurugu za machinga Iringa Mjini eneo la mashine tatu.... Polisi mkoani Iringa wanapambana  nao  kuidhibiti hali hiyo....Chanzo: Wapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE WA IRINGA ( PETER MSIGWA ) ATIWA MBARONI BAADA YA KUONGOZA WANANCHI...

 mbunge  wa  jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa akiwasili  eneo la vurugu kabla  ya kuanza kwa  vurugu  hizo  Mbunge Msigwa akiondoka  eneo la mashine  tatu   Machinga  wakisukuma gari ya...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>