Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATIMAYE KINYWAJI CHA SODA CHAANZA KUPIGWA MARUFUKU NCHI ZA NJE

*Yakatazwa shuleni, watoto chini ya miaka 12*Sasa yabainika kuwa ina sumu inayoua taratibu*Yagundulika kupumbaza na kusababisha uteja SIKU chache baada ya gazeti la Mtanzania kuripoti madhara...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WABUNGE WA CCM WANUSURIKA "KUTOANA MANUNDU" BAADA YA KUZINGUANA BUNGENI

WABUNGE wa CCM, jana walizua tafrani nje ya Ukumbi wa Bunge baada ya kukasirishwa na kitendo cha mwenzao wa Nkasi Kaskazini, Ali Keisy kupinga Bajeti ya Wizara ya Ujenzi wakati akichangia hotuba ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI 7 WATIWA MBARONI KWA KOSA LA " KUWATIA VIJITI MATAKONI " WATUHUMIWA NA...

POLISI saba kutoka wilayani Kasulu, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama Kuu Kanda ya Tabora, iliyoanza kikao chake mjini Kigoma leo na kusomewa mashitaka ya kuua kwa kukusudia.    Mbele ya Jaji Sam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DR. SLAA AMKIMBIA NAPE NNAUYE KATIKA OFISI ZA ITV

Katika tukio lisilo la kawaida ambapo kituo cha Matangazo cha ITV kiliandaa mjadala wa kujadili hali ya kisiasa nchini na masuala mbalimbali ya kitaifa ambapo kwa busara za watendaji wa ITV waliwaalika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO: WALIONASWA WAKIFANYA MAPENZI NA MBWA WAACHIWA KWA DHAMANA

VIDEO: Washukiwa wa ukahaba, wasichana 11 na mzungu kutoka Uswizi, wameachiliwa kwa dhamana. Wasichana hao walibambwa wakifanya ngono na mbwa.<!-- adsense -->

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

IKULU YAKANUSHA KUHUSU RAIS KIKWETE KUONGEZEWA MUDA WA KUKAA MADARAKANI

Mwenyekiti wa Chama cha CUF, Mheshimiwa Profesa Ibrahim Lipumba amekaririwa na Gazeti la Mwananchi la leo, Jumatano, Mei 15, 2013 akisema kuwa “amenasa taarifa za siri za kuwepo kwa mipango ya kuongeza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANA FA AVUNA MILIONI 18 NDANI YA MIEZI MITATU KWENYE RINGBACK TONE

Kwa mujibu wa Mwana FA mwenyewe ambaye leo ameachia wimbo wake mpya, Kama Zamani, hivi karibuni alipokea malipo ya miezi mitatu kutoka kampuni moja ya kuuza miito ya simu aka RBT yanayofikia shilingi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AUNT LULU AAMUA KUACHANA NA MASHOGA

<!-- adsense --> MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ amepigwa ‘stop’ kutembea na marafiki wanaodaiwa kuwa ni wanaume wenye vitendo vya kike ‘Kuku Watamu’. Akizungumza na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

"NATAKA GODBLESS LEMA AJE AJISAFISHE HUKU LONDON KAMA KWELI HAKUBAKA".......

Ndugu zanguni,Baada ya kuona kila kukicha tunaendelea kusikia hizi habari zenye kukera kuhusu kesi inayomkabili mbunge wa Arusha God bless Lema.Mimi kama rafiki wa zamani wa Lema nimeamua kujitolea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI MTWARA IMETOA ONYO KALI KWA WANANCHI KUHUSU VURUGU WALIZOPANGA KUFANYA...

Kupitia safari redio mtwara,Kamanda wa polisi mkoani Mtwara  alisikika akitoa tahadhari kwa wananchi wenye hasira kali dhidi ya mustakabali wa suala la gesi na nia ya serikali kwa maendeleo ya watu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAHAKAMA YA IRINGA YAKANUSHA POLISI KUMSHIKILIA MLINZI WAKE KWA KUIBA BANGI

MAHAKAMA kuu ya Tanzania kanda ya Iringa  imepinga  vikali taarifa ya  jeshi la polisi mkoa  wa Iringa (RPC) Michael Kamuhanda  aliyoitoa jana kwa vyombo vya habari  kuwa inamshikilia mtumishi  wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAELEZO YA WIZARA JUU YA KAULI YA DR. MWINYI KUHUSU DAWA BANDIA ZA UKIMWI (...

Tarehe 9 Mei, 2013, Mhe. Dkt. Hussein A. Mwinyi (Mb) Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, katika kuhitimisha hoja ya bajeti ya Wizara alitolea ufafanuzi suala la dawa bandia ya ARV kufuatia hoja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSANII WA CAMP MULLA ALIYEWAHI PIGA CHAFU ATIMULIWA NDANI YA KUNDI HILO

Habari zilizosambaa katika mitaa ya area code +254 zinadai kuwa kundi la hip hop lenye mafanikio makubwa nchini Kenya, Camp Mulla limempiga chini first lady na lead singer wa kundi hilo, Miss Karun...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSIGWA AGOMA KUMUOMBA RADHI KINANA NA BADALA YAKE AMEMSHAURI AENDE MAHAKAMANI...

Mbunge  wa  jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa amemtaka  katibu mkuu  wa chama  cha mapinduzi (CCM) Bw  Kinana  kutosubiri muda  wa  siku  21 alizozitoa  kumfikisha mahakamani na kudai kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND ATOA SABABU ZINAZOMFANYA AWE MALAYA......

KWA mara ya kwanza nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond' ameacha gumzo London, Uingereza baada ya kueleza sababu za kwa nini ni kiwembe? Akifunguka katika mahojiano maalum wiki iliyopita na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

"SIJAWAHI MVULIA NGUO MWANA FA"...HUSNA

MISS Sinza 2011, Husna Maulid, juzikati ameibuka na kudai kwamba katika maisha yake hajawahi kutoa penzi kwa msanii wa muziki wa Kizazi Kipya, Hamis Mwijuma ‘Mwana FA’. Husna aliyasema hayo Mei 15...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TID NAYE AGOMA KUSHIRIKI KATIKA SHOW YA LADY JAYDEE

Show ya miaka 13 katika muziki ya Lady Jaydee inazidi kupata pigo baada ya TID kuwa msanii mwingine latest kujitoa kwenye show hiyo. Moja ya sababu anayosema TID ni kuwa ana mkataba mwingine wa show...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASHLEY TOTO NI MREMBO ANAYETAKA KUKUPA KUKUPA MOYO WAKE......

Ashley Toto ni mwanadada msanii na   mrembo ambaye anaishi Germany kwa sasa ....  Ashley  yupo Germany  kwa  ajili  ya  kuutangaza  utamaduni  wa mwafrika  halisi  kupitia  fani  ya  maigizo.... Mrembo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNYAMA: POLISI AMCHARANGA MAPANGA MWANAE WA MIAKA 4 KISA KIKIWA NI WIVU WA...

MTOTO WA MIAKA 4 DEVOTHA GERLAD ALIYEKATWA MAPANGA NA BABA YAKE,HAPA AKIWA HOSPITALI KWA HUDUMA AYA KWANZA. WANANCHI WAKIWA NJE YA HOSPITALI YA WILAYA WAKIWA NA SHAUKU YA KUMUONA MTUHUMIWA. KINA MAMA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CD ZA UAMSHO NA ZILE ZA SHEIKH ILUNGA ZAPIGWA MARUFUKU....

Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar inayoongozwa na Dr Shein na Makamu  wake Maalim Seif kupitia Jeshi la Polisi wamepiga marufuku rasmi CD  zote za mawaidha ya Kiislam za UAMSHO,MUJAHID ABOUD...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>