Habari zilizosambaa katika mitaa ya area code +254 zinadai kuwa kundi
la hip hop lenye mafanikio makubwa nchini Kenya, Camp Mulla limempiga
chini first lady na lead singer wa kundi hilo, Miss Karun kutokana na skendo zinazomkabili
Kwa mujibu wa maneno ya mtaani inasemekana nafasi ya Miss Karun
itachukuliwa na mrembo mwingine aitwaye Tiri, ambaye ni mpenzi wa member
na producer
↧