Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

MAHAKAMA YA IRINGA YAKANUSHA POLISI KUMSHIKILIA MLINZI WAKE KWA KUIBA BANGI

$
0
0
MAHAKAMA kuu ya Tanzania kanda ya Iringa  imepinga  vikali taarifa ya  jeshi la polisi mkoa  wa Iringa (RPC) Michael Kamuhanda  aliyoitoa jana kwa vyombo vya habari  kuwa inamshikilia mtumishi  wa mahakama hiyo kwa kuiba bangi iliyofikishwa mahakamani hapo kama kielelezo."Taarifa ya kamanda wa polisi kuwa bangi imeibiwa mahakamani si ya kweli na imelenga kuichafua mahakama. Mahakama

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>