Katika
tukio lisilo la kawaida ambapo kituo cha Matangazo cha ITV kiliandaa
mjadala wa kujadili hali ya kisiasa nchini na masuala mbalimbali ya
kitaifa ambapo kwa busara za watendaji wa ITV waliwaalika wasemaji wakuu
wa mjadala huo kuwa Viongozi waandamizi wa Vyama vya Siasa wakianza na
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Abdulrahaman Kinana na
Katibu Mkuu wa CDM Ndugu Slaa.
↧