KATIKA
hali isiyo ya kawaida, ugomvi mkubwa umetokea kwenye Kanisa la AICT, kati ya
baadhi ya wanakwaya wa kanisa hilo linalofahamika kwa jina la “Bupandwa” na
mchungaji wao Petro Masule.
Tukio hilo la aina yake, limetokea kwenye Kijiji Bupandwa,Kata ya
Bupandwa, Wilaya ya Sengerema, mkoani Mwanza.
Wanakwaya hao walisimamishwa kutoa huduma Kanisani kwa
njia ya uimbaji kwa kosa la
↧