RASIMU ya Sera ya Elimu na Mafunzo
nchini inapendekeza kuunganisha elimu ya msingi na sekondari ya kawaida
ya sasa ili kuunda elimu-msingi itakayotolewa kwa kipindi cha miaka 10
kuanzia mwaka 2018, imefahamika.
Rasimu ya kwanza ya Sera hiyo
imeshakamilika na sasa wadau mbalimbali wanatoa mapendekezo yao
kuiboresha, kabla ya kupelekwa bungeni ili kutungiwa sheria.
Aidha,
↧