Hakukuwa na hali yeyote ya uvunjifu wa amani
Ulinzi umeimarishwa kila kona
Hali
ya usalama ndani ya Manispaa ya Mtwara-Mikindani ni tete. Soko Kuu,
kituo kuu cha mabasi na maduka yamefungwa tangu asubuhi.
Usafiri wa
Pikipiki unapatikana katika baadhi ya maeneo machache ya mji, huku maneo
makuu ya biashara yakiwa wazi bila ya pilikapilika za watu kama ilivyo
kawaida.
↧