Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAMKE ANYOFOLEWA NYETI ZAKE KWA MADAI YA KULALA NA WAUME ZA WATU...

Mwanake  mmoja  nchini Zimbabwe amekumbwa  na  balaa  la  mwaka  baada  ya  kupoteza  VIUNGO  VYAKE VYA  SIRI ( Uke).... Mwanamke  huyo  alikumbwa  na  balaa  hilo usiku wa kuamkia  tarehe  29 mwezi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: MBUNGE MSIGWA AFIKISHWA MAHAKAMANI LEO

Mbunge Msigwa akishuka katika gari hilo la polisi tayari kwa kuelekea chumba cha mahakama Mbunge Msigwa akiwa na gazeti mkononi baada ya kufikishwa mahakamani leo Watuhumiwa wengine wa vurugu za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAHAKAMA YAMWACHIA HURU MSIGWA KWA DHAMANA.....

WATUHUMIWA 60 wa vurugu kati ya machinga na polisi mjini Iringa akiwemo Mbunge  wa  Jimbo  hilo, Mchungaji Peter Msigwa, kwa sasa  wanafanyiwa  utaratibu  wa  dhamana  baada ya mahakama  kukubali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AFANDE SELE AGOMA KULA BAADA YA SIMBA KUPAKATWA NA YANGA

King Selemani ama Afande Sele kutoka mji kasoro bahari Morogoro ni moja ya watu wanaoonekana kuwa ‘addicted’ na ushabiki wa soka kiasi cha kushindwa kuvumilia maumivu ya kufungwa kwa timu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SPIKA WA BUNGE AAMURU KUFUTWA KWA HOTUBA YA SUGU ILIYOSABABISHA BUNGE...

Spika wa Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mh Anne Makinda, ameamuru kambi ya upinzani kuyaondoa maneno yote yaliyomo kuanzia ukurasa wa kwanza mpaka wa 14 katika hotuba rasmi ya Kambi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BIASHARA YA NGONO YASHIKA KASI DODOMA.....MAKAHABA WA DAR NAO WAPIGA KAMBI

BIASHARA ya ngono katika mji wa Dodoma imeshika kasi kubwa ambapo imebainika kuwa wateja wakubwa ni watumishi wa serikali, wanasiasa na madereva. Uchunguzi wetu  umebaini kuwa katika biashara hiyo kuna...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATU SITA WANASWA WAKISHOOT VIDEO YA NGONO....

Watu sita mjini  Nakuru Kenya  wametiwa  nguvuni baada  ya  kunaswa  wakipiga  picha  za  uchi  kwa  ajili ya filamu yao ya ngono..... Tukio hili limetokea  ikiwa ni siku chache  tu  baada  ya  kundi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AMWAGIA SIFA LOWASSA......AMEDAI KWAMBA LOWASSA NI "JEMBE"

Rais Jakaya Kikwete amemwagia sifa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa hatua ambayo inaweza kutafsiri mengi katika medani ya siasa nchini.    Akizungumza na wabunge wa CCM kwenye Ukumbi wa White...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

" MATOKEO YA KIDATO CHA SITA".....SIFURI KIBAO ZAFUTWA KIMYA KIMYA

MPANGILIO wa alama mpya za kufaulu kwa wahitimu wa kidato cha sita waliohitimu mwaka jana, ambao matokeo ya mitihani yao yanaweza kutangazwa wakati wowote kuanzia sasa, unadaiwa kuzua aibu na kama si...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII NDIO KUMBUKUMBU YA MIAKA 17 YA AJARI YA MELI YA MV BUKOBA ILIYOZAMA...

Meli ikiwa inazama na ikiwa imezungukwa na mitumbwi pamoja na boti ambazo zilisaidia kwenye uhokoaji   MV Bukoba ikiwa inazama ilikuwa ni tarehe 21 mei 1996    Makaburi ya Igoma ambako ndugu zetu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PROFESA JAY AJIUNGA NA CHADEMA TAYARI KWA KUENDELEZA MAPAMBANO YA KISIASA...

Rapper mkongwe nchini, Joseph Haule aka Profesa Jay amejiunga rasmi na Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA. Profesa amekabidhiwa kadi ya uanachama wa CHADEMA na mbunge wa Mbeya mjini, Joseph...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUKICHOKA KUHUBIRI AMANI, BASI TUJIANDAE KUCHIMBIANA MAKABURI

 Ndugu zangu, Naiona hatari kubwa nyingine inakuja mbele yetu. Ni haya makundi mawili; MaBodaboda na MaMachinga.  Hofu yangu kuna wanasiasa wachache wanaowaona vijana hawa, katika matatizo yao ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UJIO WA RAIS OBAMA NCHINI TANZANIA

Rais wa Marekani Bw. Baraka Obama na Mkewe wanatarajia kufanya ziara ya nchi tatu barani Afrika itakayojumuisha nchi za Senegal, Afrika ya Kusini na Tanzania, Kuanzia tarehe 26 Juni hadi tarehe 3...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BABA YAKE DULLY SYKES ANASWA AKIVUTA BANGI....

   Baba mzazi wa mwanamuziki wa bongo flava nchini Dully Sykes, Mzee Sykes pichani kama inavyoonekana akiwa na madawa haram ya kulevya aina ya bangi mkononi huku mbegu mbegu zikiwa zimedondoka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASANII WATAKAOTUMBUIZA KATIKA SHOW YA UFUNGUZI WA BIG BROTHER WATAJWA

Show ya ufunguzi wa msimu mpya wa shindano la Big Brother Africa itafanyika Jumapili hii, May 26 nchini Afrika Kusini.  Usiku huo utawaonesha washiriki wote 28 watakaoanza safari ya miezi mitatu ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUNDU LISSU NA ANNE KILANGO NUSURA WACHAPANE MAKOFI BUNGENI

Baada ya Bunge kuahirishwa jana, nje ya ukumbi hali haikuwa nzuri baina ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu na Mbunge wa Same Mashariki (CCM), Anne Kilango Malecela.Mtafaruku huo uliibuka baada...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GODBLESS LEMA AUMBUKA....VODACOM WADAI KWAMBA ULE UJUMBE WA VITISHO HAUKUTOKA...

KAMANDA wa Polisi wa Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas, amedai kuwa uchunguzi wa awali kuhusu ujumbe unaodaiwa kutumwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Magesa Mulongo, umetumwa na mtandao wa simu wa nje ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

"WASANII WANAOVAA VIMINI KWENYE FILAMU HUWA WANAJIUZA"....MWAKIFAMBA

RAIS wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Simon Mwakifwamba amesema wasanii wanaovaa mavazi yasiyo na staha ikiwemo vimini kwenye sinema wanajiuza.Mwakifwamba aliyasema hayo katika mahojiano na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO YA MKENYA ANAYELIA BAADA YA OBAMA KUPANGA KUJA TANZANIA NA KUIKACHA KENYA

Rais wa Marekani Barack Obama na mkewe Michelle mwezi ujao atakuwa na ziara katika nchi tatu za Afrika zikiwemo Tanzania, Afrika Kusini na Senegal. Ziara hiyo itaanza June 26 – July 3. Hata hivyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAKA NA DADA WANASWA WAKIVUNJA AMRI YA SITA KATIKA MAPANGO YA UFUKWE WA COCO

UKISTAAJABU ya Musa utayaona ya Firauni. Usemi huu unakamilishwa na tukio la kunaswa kwa vijana wawili wenye undugu wa damu wakifanya mapenzi   kando ya Ufukwe wa Bahari ya Hindi Imefahamika kwamba...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>