Baba
mzazi wa mwanamuziki wa bongo flava nchini Dully Sykes, Mzee Sykes
pichani kama inavyoonekana akiwa na madawa haram ya kulevya aina ya
bangi mkononi huku mbegu mbegu zikiwa zimedondoka chini.-----
Baba
mzazi wa mwanamuziki nyota wa bongo flava nchini Dully Sykes , Mzee Sykes
hivi karibuni alinaswa akichambua bangi mikononi
mwake kwa ajili ya kuivuta.
Tukio
hilo la aina yake
↧