MPANGILIO wa alama mpya za kufaulu kwa wahitimu wa kidato cha sita
waliohitimu mwaka jana, ambao matokeo ya mitihani yao yanaweza
kutangazwa wakati wowote kuanzia sasa, unadaiwa kuzua aibu na kama si
uamuzi uliotajwa bungeni wa matumizi ya alama za ufaulu za zamani,
matokeo hayo yangeibua aibu kama ilivyojitokeza kwa kidato cha nne,
2012.
Kwa mujibu wa vyanzo vyetu vya habari kutoka
↧