WATUHUMIWA 60 wa vurugu kati ya machinga na polisi mjini Iringa akiwemo Mbunge
wa Jimbo hilo, Mchungaji Peter Msigwa, kwa sasa wanafanyiwa
utaratibu wa dhamana baada ya mahakama kukubali kupewa dhamana.
Awali watuhumiwa walisomewa mashitaka matatu huku mbunge akisomewa
shitaka la kushawishi watuhumiwa hao kufanya vurugu.
Watuhumiwa
wote wamekana
↧