Mmoja wa waanzilishi na wamiliki wa Jamii Forums, Maxence Melo, amepata
ajali ya gari katika barabara kuu iendayo Mwanza; kilometa chache
kutoka Nzega mjini.
Mwanzilishi mwenzie na msemaji wa Jamiiforums, Mike Mushi, amesema
Maxence na ndugu yake ambaye naye alikuwepo kwenye ajali hiyo,
walikimbizwa katika hospitali ya Rufani ya Bugando kwa matibabu na
uchunguzi zaidi.
Bw.
↧