Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Wana CCM Serengeti watua kwa Edward Lowassa.....Wamtaka Achukue Fomu ya...

VIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, wamemwomba Waziri Mkuu wa zamani ambaye pia ni Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa (CCM), kuchukua fomu ya kuwania urais muda...

View Article


Vifurushi vipya vya mitandao: TCRA yatoa tamko na maagizo kwa makampuni ya simu

Mamlaka ya mawasiliano nchini, TCRA imetoa tamko kuhusiana na malalamiko kutoka kwa watumiaji wa huduma za simu nchini kufuatia kubadilika kwa vifurushi vya mawasiliano.   Malalamiko hayo yalikuja...

View Article


Picha CHAFU za Msanii Maarufu Uganda Zavuja Mtandaoni Akiwa kama Alivyozaliwa

Picha  chafu  za  Msanii  maarufu  wa  kike  nchini  Uganda  zimevuja  na  kusambaa  kwa  kasi  mtandaoni..... Picha  hizo  Ambazo  zilianza  kusambaa  jana  zinamuonyesha  msanii  huyo  akiwa...

View Article

Vurugu Ilula Mkoani Iringa, Mwananchi afariki, Kituo cha Polisi chachomwa moto!

Wananchi wenye hasira mjini Ilula, mkoani Iringa,  wamevamia kituo cha polisi na kuvunja milango kisha kuwafungulia mahabusu waliokuwemo ndani, wakachoma moto baadhi ya magari yaliyokuwepo kituoni...

View Article

Rais Kikwete apokea vitabu Mil 2.5 vya Sayansi

Rais Jakaya Mrisho Kikwete wa Tanzania amesema serikali itaendelea kuboresha sekta ya elimu hapa nchini kwa lengo la kuhakikisha vijana wanaosoma katika shule za sekondari wanapata elimu bora mara...

View Article


Waethiopia 13 wakamatwa wakisafirishwa Morogoro

Jeshi la polisi mkoa wa Morogoro  limewakamata  wahamiaji haramu 13  kutoka nchini  Ethiopia wakiwa kwenye gari ndogo aina Prado  katika kijiji cha Lusanga  Turiani  wilayani Mvomero wakijiandaa...

View Article

Waziri Mkuu Aagiza Watendaji Waliokaa Kwenye Halmashauri Kwa Zaidi ya Miaka...

Watendaji wa Halmashauri waliokaa kwenye vituo vya kazi kwa zaidi ya miaka 10, wataanza kuhamishwa wakati wowote kuanzia sasa kuleta ufanisi katika utendaji na kukomesha  kufanya kazi kwa mazoea....

View Article

Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar Yaichefua CCM

Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimesema hakitaunda tena Serikali ya Umoja wa Kitaifa baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu, kutokana na  baadhi ya washiriki wake kuvuruga utaratibu na...

View Article


Warioba Ashutumu Ubinafsi wa Vyama vya Siasa Katika Mchakato wa Kura ya Maoni

Waziri Mkuu mstaafu na aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Joseph Warioba amevitaka  vyama vya siasa kuzingatia matakwa ya wananchi katika suala zima la Kura ya Maoni  ya Katiba...

View Article


Wanajeshi 6 wa JTK Waliotaka Kuandamana Wafikishwa Mahakamani Chini ya Ulinzi...

Wahitimu sita wa mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya kufanya mkusanyiko usio halali....

View Article

Bunduki ya kivita na risasi 524 zakamatwa Kibondo

Kamanda wa polisi mkoa wa Kigoma ACP Jafari Mohamed amesema, risasi 524  na bunduki moja  ya kivita aina ya SMG zimekamatwa katika eneo la kijiji cha Nduta baada ya polisi katika kizuizi cha Nduta...

View Article

Wastara Azimia Kisa Penzi la Bond

Diva wa filamu nchini, Wastara Juma ambaye kwa sasa anaripotiwa kuwa katika mapenzi na mwigizaji mwenzake, Bond Bin Suleiman anadaiwa kupoteza fahamu mara tu baada ya kupewa taarifa kuwa mpenziwe huyo...

View Article

Picha: Joti Awakuna Wengi Kwa Mtoko Huu

Picha ya mwigizaji mkongwe wa vichekesho “KOMEDI” Lucas Mhuvile ‘Joti’  imewakuna watu wengi  na kufanya kuwa ni moja kati ya picha zinazo” TREND” mtandaoni toka jana.   Japo kuwa Joti akiwa kama ‘Bi...

View Article


Shilole na Mchumba Wake Nuh Mziwanda Wachafua Hali ya Hewa Mtandaoni baada...

Mwigizaji na mwanamziki,  Zuwena Mohammed ‘Shilole’ ambae ni mama wa watoto wawili wa kike , akiwa na mchumba wake Nuh wamechafua hali ya hewa baada ya kutupia picha yaowakiwa uchi.   Nuh Mziwanda...

View Article

Migodi ya Dhahabu Nchini Kuanza Kulipa Ushuru

Wizara ya Nishati na Madini inapenda kutangazia umma kuwa mgodi wa dhahabu wa Geita unaomilikiwa na kampuni ya AngloGold Ashanti; na migodi ya Bulyanhulu, Buzwagi na North Mara inayomilikiwa na...

View Article


Rais Kikwete Aweka Shada la Maua Katika Makaburi ya Marais Lusaka Zambia

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiweka shada la maua katika kaburi la aliyekuwa Rais wa Zambia Michael Sata aliyefariki mwaka jana katika eneo la maziko ya viongozi wa...

View Article

Vodacom na Tigo waungana kutoa huduma bora za kifedha

Huduma za kutuma na kupokea fedha na kufanya mihamala mbalimbali ya malipo zinazotolewa na makampuni ya Vodacom Tanzania kupitia huduma yake ya M-Pesa na Tigo kupitia huduma yake ya Tigopesa zitazidi...

View Article


Ile picha ya askari wa Tanzania kupigana mabusu iliteka Dunia.....Hapa iko...

Unakumbuka ile Stori ya askari Asuma Mpaji na Veronica Nazaremo kufukuzwa kazi Mkoani Kagera baada ya picha zao kusambaa mitandaoni wakionekana kupigana mabusu? safari hii nakuletea tena stori...

View Article

Matonya: Tundaman aliniibia hela zangu benki

Matonya na Tundaman wameingia kwenye vita vya maneno. Ugomvi huo umeanza baada ya Tundaman kudai kuwa alimtungia wimbo Matonya kwenye album yake ya Vailet. Akiongea kwenye 255 ya XXL kupitia Clouds FM...

View Article

Shilole adai atamzalia Nuh Mziwanda watoto wawili

Shilole amedai kuwa mpango wake ni kumzalia mchumba wake Nuh Mziwanda watoto wawili. Muimbaji huyo mwenye watoto wawili wa kike alisema hayo wakati akiongea kwenye kipindi cha The Mboni Show....

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live