Kamanda wa polisi mkoa wa Kigoma ACP Jafari Mohamed amesema, risasi
524 na bunduki moja ya kivita aina ya SMG zimekamatwa katika eneo la
kijiji cha Nduta baada ya polisi katika kizuizi cha Nduta kufanya
ukaguzi ndani ya basi.
Wakati kazi hiyo ikiendelea mtu anayesadikiwa kumiliki begi
lililokuwa na risasi na bunduki alitoroka, ambapo amesema vizuizi vya
barabarani vilivyowekwa
↧