Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Bunduki ya kivita na risasi 524 zakamatwa Kibondo

$
0
0
Kamanda wa polisi mkoa wa Kigoma ACP Jafari Mohamed amesema, risasi 524  na bunduki moja  ya kivita aina ya SMG zimekamatwa katika eneo la kijiji cha Nduta baada ya polisi katika kizuizi cha Nduta kufanya ukaguzi ndani ya basi.   Wakati kazi hiyo ikiendelea  mtu anayesadikiwa kumiliki begi lililokuwa na risasi na bunduki alitoroka, ambapo amesema vizuizi vya barabarani vilivyowekwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>