Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Waethiopia 13 wakamatwa wakisafirishwa Morogoro

$
0
0
Jeshi la polisi mkoa wa Morogoro  limewakamata  wahamiaji haramu 13  kutoka nchini  Ethiopia wakiwa kwenye gari ndogo aina Prado  katika kijiji cha Lusanga  Turiani  wilayani Mvomero wakijiandaa kwenda Afrika kusini kupitia mkoani Mbeya . Kamanda wa polisi mkoa wa Morogoro ACP leonard Paul  akizungumzia  tukio hilo amesema waethiopia hao walitokea nchini Kenya na kupita Handeni na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>