Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rais Kikwete apokea vitabu Mil 2.5 vya Sayansi

$
0
0
Rais Jakaya Mrisho Kikwete wa Tanzania amesema serikali itaendelea kuboresha sekta ya elimu hapa nchini kwa lengo la kuhakikisha vijana wanaosoma katika shule za sekondari wanapata elimu bora mara kabla ya kuhitimu.   Rais Kikwete aliyasema hayo jana jijini Dar es salaam mara baada ya kupokea vitabu milioni 2 na laki 5 vya masomo ya Sayansi na Hisabati kutoka serikakali ya Marekani

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>