Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Vurugu Ilula Mkoani Iringa, Mwananchi afariki, Kituo cha Polisi chachomwa moto!

$
0
0
Wananchi wenye hasira mjini Ilula, mkoani Iringa,  wamevamia kituo cha polisi na kuvunja milango kisha kuwafungulia mahabusu waliokuwemo ndani, wakachoma moto baadhi ya magari yaliyokuwepo kituoni hapo pamoja na mafaili.   Kwa mujibu wa shuhuda wa tukio hilo, tukio hilo limetokea leo  kufuatia mwanamke ambaye hakufahamika jina lake wakati anakimbia alichotwa mtama na Polisi na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles