Unakumbuka ile Stori ya askari Asuma Mpaji na Veronica Nazaremo
kufukuzwa kazi Mkoani Kagera baada ya picha zao kusambaa mitandaoni
wakionekana kupigana mabusu? safari hii nakuletea tena stori inayofanana
na hiyo ambayo imetokea Nchini Uingereza.
Polisi wa nchi hiyo ya
Uingereza waliamua kumshtaki mwenzao baada ya kufanya kitendo cha
kudhalilisha jeshi la nchi la nchi hiyo kwa
↧
Ile picha ya askari wa Tanzania kupigana mabusu iliteka Dunia.....Hapa iko Picha mpya toka Uingereza
↧