Mamlaka ya mawasiliano nchini, TCRA imetoa tamko kuhusiana na
malalamiko kutoka kwa watumiaji wa huduma za simu nchini kufuatia
kubadilika kwa vifurushi vya mawasiliano.
Malalamiko hayo yalikuja baada ya baadhi ya mitandao ya simu
kupunguza ukubwa wa data anazopata mtumiaji wa simu anapojiunga na
vifurushi vya muda wa maongezi, sms na data kwa pamoja.
Baadhi ya mitandao
↧