Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Urais 2015: Wana CCM Waanza Kushikana Uchawi.....Wadai kuwa Jukumu la Kupata...

Wakati  CCM kikijiandaa kuanza mchakato wa kupitisha jina la mgombea wake wa nafasi ya urais katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu, imeelezwa kwamba hali si shwari ndani ya...

View Article


Mwanajeshi Mwingine wa JKT ambaye ni Katibu wa Vijana wa JTK Waliotaka...

KATIBU wa vijana waliopata mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) waliokuwa wakiandamana kushinikiza Serikali kuwapatia ajira, Rinus Emmanuel amekamatwa jijini Dar es Salaam.   Hatua hiyo imekuja...

View Article


Jumuiya ya Serikali za Mitaa (ALAT) Shinyanga Yatangaza Kumuunga Mkono Edward...

Vuguvugu la kumuomba kugombea urais aliyekuwa waziri mkuu wa Tanzania, Edward Lowassa, linaendelea kupamba moto baada ya wenyeviti wa Jumuiya ya Serikali za Mitaa nchini (ALAT) mkoani Shinyanga...

View Article

Mbizo za Urais 2015: Mbowe atembeza BAKULI kwa ajili ya Kuingia...

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ametangaza mpango maalumu wa wapenzi na wanachama wa chama hicho kuchangia Sh10,000 kwa mwezi ili kupata fedha za kutosha kukiendesha chama ikwa lengo la kuiondoa...

View Article

Picha: Vanessa Mdee na Jux wadhihirisha mahaba mazito Afrika Kusini

Vanessa Mdee na Jux wote wapo nchini Afrika Kusini walikoenda kufanya video ambayo hata hivyo hawajasema ni ya wimbo gani na kwa mujibu wa picha wanazopost kwenye mitandao ya kijamii, wawili hao...

View Article


Picha: Studio binafsi ya Millard Ayo yashtua wengi

Mtangazaji wa Clouds FM, Millard Ayo na mshindi wa vipengele viwili kwenye Tuzo za Watu mwaka jana ni mtu wa mambo ya kimya kimya ndio maana picha ya studio aliyokuwa akiijenga nyumbaji kwake kwa...

View Article

Chege akanusha kuvaa hirizi kwenye picha iliyozagaa mtandaoni

Chege Chigunda amekanusha vikali tuhuma zilizotokana na kusambaa kwa picha akiwa jukwaani na huku mkononi mwake (karibuni na kwapa) akiwa na kitambaa cheusi ambacho baadhi ya watu wanahisi ni hirizi....

View Article

Mke Wa Mbunge (Sugu) Afunguka: Kuitwa Mama Kuna Raha Yake.....Natamani Nizae...

Mwigizaji wa filamu mwenye vituko vya aina yake, Faiza Ally ambae ni mama wa mtoto moja, aliezaa na Mbunge wasasa wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi  'Sugu' ameyasema hayo  akiwa visiwani Zanzibar kwenye...

View Article


Maandalizi Hafifu Chanzo cha Udanganyifu wa Mitihani

Maandalizi hafifu ya watahiniwa wa mitihani kwa ngazi zote ndio chanzo kikubwa cha kuwapo udanganyifu katika mitihani ya mwisho. Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Idara ya Fedha na Utawala wa Baraza la...

View Article


Watanzania sasa Kupatiwa Viza Huko Huko India

Wasafiri kutoka Tanzania kwenda India kwa  shughuli za matibabu na biashara wataruhusiwa  kupata visa wafikapo nchini humo. Hayo yalisemwa na Balozi wa India nchini, Debnath Shaw wakati akijibu...

View Article

Chenge, Tibaijuka Kikaangoni Baraza la Maadili Wiki hii

Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge Jumatano atasimama mbele ya Baraza la Maadili kujibu tuhuma za kukiuka maadili ya uongozi na kujipatia Sh bilioni 1.6 ambazo aligawiwa kutoka katika fedha za...

View Article

Radi Yaua Mwalimu na Wanafunzi 6 Kigoma

Watu saba wakiwamo wanafunzi sita wa darasa la nne katika shule ya msingi Nyakasanda na Mwalimu wa shule hiyo, Anderson Kibada wamekufa baada ya kupigwa na radi huku watu wengine 11 akiwemo Mwalimu...

View Article

Taarifa Rasmi ya Jeshi la Polisi Kuhusiana na Sakata la Kutekwa kwa Wanajeshi...

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linawashikilia vijana watano wa kundi la wahitimu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa tuhuma za kufanya uchochezi na kufanya mikusanyiko isiyo halali...

View Article


Albino Wawaliza Maaskofu 10 na Mashehe 10 Katika Hospitali ya Bugando

Viongozi wa madhehebu ya dini jijini Mwanza, wakiwamo Maaskofu na Mashehe jana walijikuta wakibubujikwa na machozi baada ya kumtembelea Ester John, ambaye amelazwa Hospitali ya Rufaa ya Bugando. Ester...

View Article

CHADEMA Yaigaragaza CCM Sumbawanga

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeigaragaza vibaya CCM katika uchaguzi wa marudio wa Serikali za Mitaa uliofanyika jana katika kata tatu za Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa. Chadema...

View Article


Uboreshaji wa Daftari la Wapigakura: Mashine za BVR zagoma tena Makambako

Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura kwa kutumia mfumo mpya wa kielekroniki umeingia dosari baada ya baadhi ya mashine zinazotumika kwa ajili ya kazi hiyo kushindwa kufanya kazi.   Kazi hiyo...

View Article

Taswira za Mzishi ya Msanii Mez B Yaliyofanyika Jana Mkoani Dodoma

MAMIA ya mashabiki na wasanii wa muziki wa kizazi kipya, jana walijitokeza kuupumzisha mwili wa msanii, Moses Bushangama ‘Mez B’, katika makaburi ya Wahanga wa Treni, Mailimbili mkoani Dodoma....

View Article


Joyce Kiria Adaiwa Milioni 500 kama Fidia ya Kumdhalilisha Mbunge Kupitia...

Mtangazaji wa Kipindi cha Wanawake Live, Joyce Kiria amepokea samansi ya mashtaka kutoka kwa Mbunge wa Jimbo la Dimani, Zanzibar, Abdallah Sharia Ameir (CCM) ambaye amedai amlipe fidia ya...

View Article

Mwanamke Atiwa Mbaroni Akiuza Binadamu Kwa Ajili la Zindiko la Utajiri

JESHI la Polisi mkoani Ruvuma linamshikilia mwanamke mmoja, Sophia Chambo (30), mkazi wa Mtaa wa Polisi, Kata ya Lizaboni Manispaaya Songea, akituhumiwa kujihusisha na biashara ya kuuza binadamu kwa...

View Article

Mwanamke Anyongwa hadi Kufa na Mpenzi wake Usiku wa Manane Wakiwa Gesti

Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linamshikilia, Erick Bruno (30) kwa tuhuma za kumnyonga hadi kufa mpenzi wake, Daja Dungu (35) wakati walipokuwa kwenye nyumba ya kulala wageni (jina tunalo) Manispaa...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>