Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwanajeshi Mwingine wa JKT ambaye ni Katibu wa Vijana wa JTK Waliotaka Kuandamana Akamatwa Akituhumiwa Kufanya Mkusanyiko Usio Halali

$
0
0
KATIBU wa vijana waliopata mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) waliokuwa wakiandamana kushinikiza Serikali kuwapatia ajira, Rinus Emmanuel amekamatwa jijini Dar es Salaam.   Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya Mwenyekiti wao George Mgoba, kutekwa wiki iliyopita na kisha kupigwa na kuteswa na watu wasiojulikana.   Hata hivyo Mgoba alihamishwa kutoka Hospitali ya Amana,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>