Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watanzania sasa Kupatiwa Viza Huko Huko India

$
0
0
Wasafiri kutoka Tanzania kwenda India kwa  shughuli za matibabu na biashara wataruhusiwa  kupata visa wafikapo nchini humo. Hayo yalisemwa na Balozi wa India nchini, Debnath Shaw wakati akijibu maswali ya wafanyabiashara wa kitanzania wakati wa mkutano baina ya wafanyabiashara wa ndani na wenzao kutoka jimbo la Gujarat India.   Alisema: “Tutahakikisha tunafanya utaratibu huo na utaanza

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>