Wasafiri kutoka Tanzania kwenda India kwa shughuli za matibabu na biashara wataruhusiwa kupata visa wafikapo nchini humo.
Hayo yalisemwa na Balozi wa India nchini, Debnath Shaw wakati akijibu maswali ya wafanyabiashara wa kitanzania wakati wa mkutano baina ya wafanyabiashara wa ndani na wenzao kutoka jimbo la Gujarat India.
Alisema: “Tutahakikisha tunafanya utaratibu huo na utaanza
↧