Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Taswira za Mzishi ya Msanii Mez B Yaliyofanyika Jana Mkoani Dodoma

$
0
0
MAMIA ya mashabiki na wasanii wa muziki wa kizazi kipya, jana walijitokeza kuupumzisha mwili wa msanii, Moses Bushangama ‘Mez B’, katika makaburi ya Wahanga wa Treni, Mailimbili mkoani Dodoma.   Akizungumza wakati wa kuuaga mwili huo, mama wa marehemu, Mchungaji Mary Katambi, aliwataka vijana kumrudia Mungu.    “Mwanangu aliuona uwepo wa Mungu, nilikuwa nikimsihi kuokoka na kumrudia

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>