Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Albino Wawaliza Maaskofu 10 na Mashehe 10 Katika Hospitali ya Bugando

$
0
0
Viongozi wa madhehebu ya dini jijini Mwanza, wakiwamo Maaskofu na Mashehe jana walijikuta wakibubujikwa na machozi baada ya kumtembelea Ester John, ambaye amelazwa Hospitali ya Rufaa ya Bugando. Ester amelazwa  baada ya kujeruhiwa vibaya na watu wasiofahamika, ambao walimteka mwanawe mwenye ulemavu wa ngozi  (albino), Yohana Bahati na kutokomea naye kusikojulikana.   Viongozi hao 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>