Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe
ametangaza mpango maalumu wa wapenzi na wanachama wa chama hicho
kuchangia Sh10,000 kwa mwezi ili kupata fedha za kutosha kukiendesha
chama ikwa lengo la kuiondoa CCM madarakani kupitia Umoja wa Katiba ya
Wananchi (Ukawa) kwa njia ya kura.
Mbowe alitoa kauli
hiyo juzi wakati akihutubia mamia ya wakazi na wafuasi wa chama hicho
katika mkutano wa
↧