Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mbizo za Urais 2015: Mbowe atembeza BAKULI kwa ajili ya Kuingia Ikulu.....Ataka kila Mwanachama Achangie sh. 10,000

$
0
0
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ametangaza mpango maalumu wa wapenzi na wanachama wa chama hicho kuchangia Sh10,000 kwa mwezi ili kupata fedha za kutosha kukiendesha chama ikwa lengo la kuiondoa CCM madarakani kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwa njia ya kura.   Mbowe alitoa kauli hiyo juzi wakati akihutubia mamia ya wakazi na wafuasi wa chama hicho  katika mkutano wa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles