Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Shilole adai atamzalia Nuh Mziwanda watoto wawili

$
0
0
Shilole amedai kuwa mpango wake ni kumzalia mchumba wake Nuh Mziwanda watoto wawili. Muimbaji huyo mwenye watoto wawili wa kike alisema hayo wakati akiongea kwenye kipindi cha The Mboni Show.   “Nitamzalia watoto wawili, nina wawili,” alisema Shilole aliyeongezana na mchumba wake huyo kwenye kipindi hicho kinachorushwa TBC1.   Shilole alisema kuwa kadri siku zivyonaenda anazidi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>