Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kamanda Siro Atoa Ushahidi wake Katika Kesi ya Maandamano ya Mbunge Halima Mdee na Wenzake

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imeambiwa na Naibu Kamishna wa Polisi, Kamanda Simon Siro (54), ambaye amedai mahakamani kwamba alitoa zuio la kuandamana kwenda Ikulu kwa Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha) kwa sababu maandamano hayo yangesababisha uvunjifu wa amani.   Alitoa madai hayo, wakati akitoa ushahidi dhidi ya Mbunge Halima Mdee na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>