Mahakama
ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imeambiwa na Naibu
Kamishna wa Polisi, Kamanda Simon Siro (54), ambaye amedai mahakamani
kwamba alitoa zuio la kuandamana kwenda Ikulu kwa Wanawake wa Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (Bawacha) kwa sababu maandamano hayo
yangesababisha uvunjifu wa amani.
Alitoa
madai hayo, wakati akitoa ushahidi dhidi ya Mbunge Halima Mdee na
↧