Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Apandishwa Kizimbani kwa Rushwa

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), imewapandisha mahakamani Mkuu wa  Wilaya ya Mufindi,  Evarista Kalalu na wakurugenzi wawili kwa makosa mawili yanayohusiana na rushwa kinyume na...

View Article


Uandikishaji Wapiga Kura kwa BVR Wasogezwa Mbele......Utaanza Februari 23

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema katika majaribio ya uandikishaji wananchi kwenye daftari la kudumu la wapiga kura, mfumo mpya wa uandikishaji wa 'Biometric Voter Registration Kit' (BVR),...

View Article


Mshindi wa Tweet ya Reginald Mengi Atangazwa na Kukabidhiwa Milioni 10 Zake

Mshindi wa Sh milioni 10 katika shindano la wazo bora la biashara linaloendeshwa na Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP Media, Reginald Mengi kupitia kwenye mtandao wa kijamii wa twitter ametangazwa na...

View Article

Ray C Amtibua Baba Mwenye Nyumba.....Ni baada ya mkataba wake Kuisha kisha...

Inadaiwa kuwa kimenuka kati ya msanii Rehema Chalamila ‘Ray C’ na baba mwenye nyumba wake, Hussein Kassim baada ya mdada huyo kudaiwa kugoma kutoa vyombo vyake kwenye mgahawa aliopangishwa na mkataba...

View Article

Upelelezi Kesi ya Wafuasi wa CUF Bado kukamilika

Upelelezi wa kesi ya kutotii amri halali ya polisi na kufanya mkusanyiko usio halali inayowakabili wafuasi 30 wa Chama cha Wananchi (CUF) haujakamilika. Wakili wa Serikali Joseph Maugo alidai hayo...

View Article


Alama za Ufaulu Zatesa Wamiliki wa Shule Binafsi

Siku chache baada ya Serikali kusema itazifutia usajili shule zitakazokaidi agizo la kuweka viwango maalumu na tofauti vya ufaulu kutoka kidato kimoja kwenda kingine, wadau wa elimu wamezungumza na...

View Article

Askari Apigwa Chupa Usoni wakati wa VITA Kati ya Polisi na Bodaboda Dar

Askari wa Jeshi la Polisi amejeruhiwa na madereva wa pikipiki maarufu kama bodaboda katika fujo zilizoibuka juzi jioni katika eneo la Mzinga, Kongowe Mbagala nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam katika...

View Article

Kesi ya Mauaji ya Daudi Mwangosi : Shahidi aeleza Walivyotekeleza Agizo la...

Kesi ya mauaji ya aliyekuwa mwandishi wa habari wa kituo cha runinga cha Chanel ten, Daudi Mwangosi inayomkabili askari polisi, Pacificus Cleophace, jana ilianza kusikilizwa katika Mahakama Kuu Kanda...

View Article


CCM watakiwa kuacha Siasa za VITISHO maana Hakuna Mtu Mwenye Hatimiliki ndani...

MJUMBE wa Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Khamis Mgeja, amewataka baadhi ya viongozi wa chama hicho kuheshimu haki za wanachama na kuacha siasa za kibabe na kibaguzi kwa kuchunga...

View Article


[VIDEO] Huyu ndo Kiongozi wa Kikundi cha Kigaidi Kinachoua Polisi na Kuiba...

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Ernest Mangu Hatimaye kuvamiwa kwa vituo vya polisi na kuporwa silaha huku askari wake wakiuawa kikatili kumejulikana kunafanywa na nani kufuatia gazeti la Ijumaa...

View Article

Je, kwa Hili JB na Kampuni Yake ya Jerusalem Wameteleza Au ndo SWAGA Zenyewe?

Haya ni maoni ya mwanasheria kijana, Alberto Msando kuhusu makosa ya uandishi wa lugha ya kingereza kwenye kasha la filamu ya Mzee wa Swaga, iliyotengenezwa na kampuni ya Jerusalem, inayomilikiwa na...

View Article

Lipumba Asitisha Maandamano ya Vijana wa CUF

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Wananchi (CUF)  Profesa Ibrahim Lipumba leo amewasihi Jumuiya ya Vijana wa CUF(JUVICUF) kusitisha maandamano kama jeshi la polisi lilivyoagiza .   Akizungumza leo...

View Article

Umeme Washuka Bei......Bei Mpya Kuanza kutumika Machi Mosi mwaka huu

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imeshusha kidogo bei ya umeme kuanzia Machi Mosi mwaka huu, huku ikisisitiza kwamba bei hiyo itaendelea kupungua zaidi mradi wa bomba la gesi...

View Article


Gadner alitongoza na kuwashika makalio wanawake mbele yangu – Lady Jaydee

Wiki hii Lady Jaydee amewapa nafasi mashabiki wake kumuuliza maswali naye kuyajibu kupitia akaunti yake ya Instagram. Ameulizwa maswali mengi, na miongoni mwa maswali hayo ni la kuhusu ndoa yake na...

View Article

Rais Kikwete Afuta ADA ya shule za Sekondari Nchi Nzima

HATIMAYE Rais Jakaya Kikwete ametimiza ahadi yake aliyoitoa Agosti mwaka jana katika Chuo Kikuu cha Mzumbe cha Morogoro, kwamba amekusudia kufuta ada ya shule za sekondari nchi nzima.   Akizindua Sera...

View Article


Matokeo Form Four: Shule 10 Bora kwa Ufaulu na Shule 10 za Mwisho ziko hapa

Katibu Mtedaji wa Baraza la Mitihani la Taifa Dk Charles Msonde ametangaza matokeo ya mitihani ya Shule za Sekondari ya Kidato cha Nne ya mwaka jana na kusema, kiwango cha ufaulu kimeongezeka kwa...

View Article

Watahiniwa 10 waliofanya vizuri Katika Matokeo ya Kidato cha nne

Katibu Mtedaji wa Baraza la Mitihani la Taifa Dk Charles Msonde ametangaza matokeo ya mitihani ya Shule za Sekondari ya Kidato cha Nne ya mwaka jana na kusema, kiwango cha ufaulu kimeongezeka kwa...

View Article


Kikundi cha Magaidi kilichoko Tanga Chajeruhi Polisi Wanne na Kuua Mwanajeshi...

Askari sita wakiwemo wanne wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), wamejeruhiwa vibaya kwa risasi wakati wa mapigano baina yao na watu wanaodhaniwa kuwa ni wahalifu wakati wa Msako Maalum wa kutafuta...

View Article

Matokeo ya Kidato cha Nne na QT 2014

Ili kuona matokeo ya CSEE, bofya <>  Na kwa matokeo ya QT, bofya <> Jumla ya Watahiniwa 196,805 sawa na 68.33% ya watahiniwa wote waliofanya mtihani kidato cha IV mwaka 2014 wamefaulu...

View Article

Moto Wateketeza Maduka eneo la Kibangu, Ubungo jijini Dar es Salaam

Moto  mkubwa uliozuka eneo la Kibangu, Ubungo jijini Dar es Salaam umeteketeza viwanda vya kusaga plastiki, kuchomelea, useremala na kuunguza maduka mawili ya karibu pamoja na vibanda vingine vya...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>