Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Mwanaume Ajinyonga hadi Kufa kwa Gauni la Mkewe Kisa kikiwa ni Wivu wa Mapenzi

MKAZI wa kijiji cha Nyakabanga kata ya Butelankuzi, Bukoba vijijini, Eliud Charles (30) anadaiwa kujinyonga hadi kufa kwa kutumia gauni la mkewe, Velidiana Eliud kutokana na wivu wa mapenzi....

View Article


Ungekuwa wewe Ungefanyaje??....Jamaa anamtaka Kimapenzi Mchumba wa mtu kisa...

Hii  story  nimekuta  inajadiliwa  sehemu  flani, nikaona  si  mbaya  nikusogezee  na  wewe  mdau.Jamaa  anasema  alikuwa  Lodge  na  mpenzi  wake  wamejipumzisha. Kama  unavyojua  mambo  ya  Lodge,...

View Article


Wawili Wafariki Dunia Baada ya Kufunikwa na Kifusi Wakichimba Vito Tanga

Wakazi wawili wa kata ya Kigongoi wilayani Mkinga, wamekufa papo hapo baada ya kufukiwa na kifusi cha udongo walipokuwa wakichimba madini aina ya vito. Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Juma...

View Article

Zabuni ya Ujenzi wa Barabara za Juu Kutangazwa Mwezi Ujao

Zabuni  ya ujenzi wa barabara za juu jijini Dar es Salaam inatarajiwa kutangazwa mwezi ujao. Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli alitoa taarifa hiyo wakati wa hafla ambayo serikali ya Japan ilitia...

View Article

Ombi la Maranda wa EPA Kusikilizwa Februari 18

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga Februari 18, mwaka huu kusikiliza ombi la kwenda kutibiwa nchini India, lililowasilishwa na mshitakiwa wa kesi ya wizi wa Sh milioni 207 katika Benki Kuu (BoT)...

View Article


Kituo cha Televisheni cha EATV na East Africa Radio Chazindua kampeni ya...

Kituo cha Televisheni  cha EATV na kituo chake cha East Africa Radio wameandaa kampeni maalumu itakayojulikana kama Zamu yako 2015 kwa ajili ya kuwakumbusha na kuwaelimisha vijana umuhimu pamoja na...

View Article

Wafanyabiashara Mwanza Wafunga Maduka tena

Maelfu ya wakazi wa jiji la Mwanza kwa mara nyingine tena, wameendelea kuonja adha ya migomo, ambapo jana wafanyabiashara zaidi ya 600 wenye maduka makubwa na ya kati yaliyopo katika mitaa mbalimbali...

View Article

Wakulima wa Miwa Mvomero Waandamana Kudai Malipo

Jeshi la polisi wilayani Mvomero mkoani Morogoro limezuia maandamano ya wakulima wa miwa Turiani waliotaka kuandamana kwa lengo la kulalamikia kiwanda cha Mtibwa kushindwa kulipa madeni yao kwa muda...

View Article


Mwanasheria Mkuu wa Serikali Asema Ratiba ya Mchakato wa Katiba iko Palepale

Mwanasheria Mkuu wa Serikali George Masaju amesisitiza kuwa mchakato wa Katiba mpya unaendelea vizuri na kwamba muda uliopo unatosha kwa ajili ya zoezi la kampemi pamoja na kupiga kura ya maoni....

View Article


Sakata la Escrow: Mwanasheria wa TANESCO Abadilishiwa Kesi

Mwanasheria Mwandamizi wa Tanesco, Steven Urassa amefutiwa mashitaka ya kupokea sehemu ya fedha zilizokuwa kwenye akaunti ya Tegeta Escrow na kusomewa mashitaka ya kupokea rushwa ya Sh milioni 161.7....

View Article

Ajiandalia MAZIKO Kwa Miaka 14 sasa Mkoani Rukwa

Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mkazi wa mjini Namanyere mkoa wa Rukwa, Gilbert Paul (37) aliyejiandalia maziko yake miaka 14 iliyopita, bado yu hai. Kwa sasa  mtu huyo ameanza maandalizi ya...

View Article

Mkazi wa Mwanza Ajishindia Bajaji ya 6 ya Promosheni ya Tutoke na Serengeti

Bajaji ya sita ya kampeni ya Tutoke na Serengeti, safari hii itaelekea mkoani Mwanza baada ya bwana. Ramadhan Abubakar kutangazwa kuwa mshindi wa Limo Bajaj, kufuatia ushiriki wake yakinifu tangu...

View Article

TAKUKURU Yaapa Kutoacha Mtu Sakata la Escrow

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imesema kuwa haikurupuki katika kuwashughulikia na kuwafikisha mahakamani viongozi wanaotuhumiwa kujipatia fedha kutoka kwenye akaunti ya Tegeta...

View Article


Serikali Yaiagiza TANESCO Kushusha bei ya Umeme....SUMATRA nao Waagizwa...

Baada ya kushuka kwa bei ya mafuta nchini, wakati wowote kuanzia leo Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) linatarajiwa kutangaza bei mpya za umeme ambazo zitakuwa na unafuu kwa wananchi. Kutangazwa kwa...

View Article

Baada ya Kukosea Kufunga Vifungo vya Suti, Wassira Aamua Kumtafuta Sheria...

BAADA ya kuandamwa sana katika mitandao ya kijamii kuhusu kutofunga vizuri vifungo vya suti yake, Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Mhe. Stephen Wasira ameamua kumuona mbunifu wa mavazi wa...

View Article


Batuli Afunguka Kuhusu Mambo ya Chumbani na Nguo za Ndani Anazopendelea Kuvaa

STAA wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuf ‘Batuli’ amefungukia mambo yake ya chumbani na kuanika kuwa anapenda kuvaa kufuli zenye rangi tofauti. Akizungumza na Gpl, Batuli ambaye anaendelea kufanya...

View Article

Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa...

Neema  Herbalist  & Nutritional  Foods  Clinic  ni  wauzaji wa dawa  mbalimbali  za  asili. Tunapenda  kuwatangazia  wateja  wetu  kuwa  tunayo  dawa nzuri  ya  asili  inatibu na  kuponyesha...

View Article


Kova Apiga MARUFUKU Maandamano ya Vijana wa CUF

POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imepiga marufuku maandamano ya Jumuiya ya Vijana wa Chama cha Wananchi (JUVICUF) kutokana na kile ilichosema yana lengo la kusababisha uvunjifu wa amani....

View Article

Mkuu wa Wilaya Awapiga Marufuku Waganga Watoa UCHAWI

MKUU wa Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma Betty Mkwasa amepiga marufuku shughuli zote za waganga wa kutoa uchawi maarufu kama lambalamba.   Alisema sasa itaandaliwa amri halali na akisikia kijiji kina...

View Article

Serikali Kuachana na Nguzo za Umeme za Miti

SERIKALI imesema inaendeleza jitihada za kuachana na matumizi ya nguzo za umeme za miti, badala yake itatumia nguzo za zege ikiwa ni hatua mojawapo ya kuboresha huduma ya usambazaji na upatikanaji wa...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live