Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wawili Wafariki Dunia Baada ya Kufunikwa na Kifusi Wakichimba Vito Tanga

$
0
0
Wakazi wawili wa kata ya Kigongoi wilayani Mkinga, wamekufa papo hapo baada ya kufukiwa na kifusi cha udongo walipokuwa wakichimba madini aina ya vito. Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Juma Ndaki alibainisha hayo wakati akitoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu matukio mbalimbali mkoani humo.   Aliwataja waliokufa ni Nyange Mussa (21) ambaye ni mkazi wa kitongoji cha Hemsambia

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles