Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mkuu wa Wilaya Awapiga Marufuku Waganga Watoa UCHAWI

$
0
0
MKUU wa Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma Betty Mkwasa amepiga marufuku shughuli zote za waganga wa kutoa uchawi maarufu kama lambalamba.   Alisema sasa itaandaliwa amri halali na akisikia kijiji kina lambalamba, mtu wa kwanza kukamatwa ni Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji kwani inaonesha waganga hao wamekuwa na ushirikiano na viongozi hao.   Alitoa kauli hiyo juzi baada ya kutembelea kijiji

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>