Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kova Apiga MARUFUKU Maandamano ya Vijana wa CUF

$
0
0
POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imepiga marufuku maandamano ya Jumuiya ya Vijana wa Chama cha Wananchi (JUVICUF) kutokana na kile ilichosema yana lengo la kusababisha uvunjifu wa amani.   Maandamano hayo yaliyokuwa yafanyike leo, yalikuwa yaanzie Buguruni hadi Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa ajili ya kufikisha madhumuni yao.  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles