STAA wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuf ‘Batuli’ amefungukia mambo
yake ya chumbani na kuanika kuwa anapenda kuvaa kufuli zenye rangi
tofauti.
Akizungumza na Gpl, Batuli ambaye anaendelea kufanya
vizuri Bongo Movies kila kukicha, alisema kama binadamu wengine na yeye
linapofika suala la viwalo hivyo vya ndani, anapenda kununua vingi
vyenye rangi tofauti.
“Nanunua nyingi lakini
↧