Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mshindi wa Tweet ya Reginald Mengi Atangazwa na Kukabidhiwa Milioni 10 Zake

$
0
0
Mshindi wa Sh milioni 10 katika shindano la wazo bora la biashara linaloendeshwa na Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP Media, Reginald Mengi kupitia kwenye mtandao wa kijamii wa twitter ametangazwa na wengine kumi wamejinyakulia kitita cha Sh milioni moja. Fredrick Shayo,  mhitimu wa chuo kikuu na mjasiriamali anayejishughulisha na ufugaji wa kuku wa kienyeji ndiye aliyetangazwa kuwa mshindi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>