Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Upelelezi Kesi ya Wafuasi wa CUF Bado kukamilika

$
0
0
Upelelezi wa kesi ya kutotii amri halali ya polisi na kufanya mkusanyiko usio halali inayowakabili wafuasi 30 wa Chama cha Wananchi (CUF) haujakamilika. Wakili wa Serikali Joseph Maugo alidai hayo jana mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Emilius Mchauru wakati kesi hiyo ilipotajwa.   Hakimu Mchauru aliahirisha kesi hiyo hadi Februari 26, mwaka huu itakapotajwa kwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>