Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Umeme Washuka Bei......Bei Mpya Kuanza kutumika Machi Mosi mwaka huu

$
0
0
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imeshusha kidogo bei ya umeme kuanzia Machi Mosi mwaka huu, huku ikisisitiza kwamba bei hiyo itaendelea kupungua zaidi mradi wa bomba la gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam utakapoanza kazi.   Taarifa za hivi karibuni, zimeeleza kuwa bomba hilo limekamilika kwa asilimia 99 na kinachosubiriwa ni pamoja na majaribio ya usafirishaji

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles