Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Apandishwa Kizimbani kwa Rushwa

$
0
0
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), imewapandisha mahakamani Mkuu wa  Wilaya ya Mufindi,  Evarista Kalalu na wakurugenzi wawili kwa makosa mawili yanayohusiana na rushwa kinyume na Kifungu cha 32 cha Sheria ya Takukuru Namba 11 ya mwaka 2007. Katika kesi hiyo inayowaunganisha maofisa wengine wawili wa halmashauri ya  wilaya ya Mufindi,  wanatuhumiwa kuisababishia

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>